FAIDA YA KUFIKIRIA

Fikra zako ndizo  hukupeleka katika mafanikio yako. Anza na kuimalisha akili yako ili  uweze kuwa na fikra za kukujenga na sio kukuathili.

Mafanikio yako huweza kuwa ya muda wowote, ukiwa kijana, au mzee. Ila Pambana katika kutimiza kile unachowaza na kuona kuwa na manufaa kwako. 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii